Dembele: Nafurahia sana kujiunga na Barca .
''Imekuwa ndoto yangu tangu nikiwa mdogo kuichezea Barca na sasa nimewasili''.
''Ndio klabu bora duniani ilio na wachezaji bora duniani''.
Mara ya mwisho kwa Dembele kuichezea Dortmund ni wakati wa kombe la Supercup mnamo tarehe 5 mwezi Agosti.
Klabu hiyo ya Bundesliga ilikataa ombi la Barca mapema mwezi Agosti , huku mchezaji huyo akiwa amepewa marufuku kwa kukosa mazoezi.

0 comments:
Post a Comment