Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Borussia Dortmund kutoka Chelsea, akishangilia
baada ya kufunga mabao mawili dakika za 65 na 90 na ushei wenyeji
wakitoka nyuma kwa mabao 2-1 na kushinda 3-2 dhidi ya Atalanta kwenye
mchezo wa kwanza wa hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa Alhamisi
Uwanja wa Signal-Iduna-Park
mjini Dortmund. Bao lingine la Dortmund lilifungwa na Andre Schurrle
dakika ya 30, wakati ya Atalanta yalifungwa na Josip Ilicic yote dakika
za 51 na 56
Home
»
»Unlabelled
» BATSHUAYI APIGA MBILI BORUSSIA DORTMUND YATOKA NYUMA KUSHINDA 3-2
Friday, February 16, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment