
RFEF wanasema watarejesha tu michuano hiyo kama mamlaka zitajiridhisha kuwa ni wakati salama kwa afya za watu.
Awali LaLiga ilisimamishwa hadi mwanzoni mwa April lakini sasa imeonekana hali kutokuwa nzuri katika mapambano na virusi vya corona, hivyo hawezi kuruhusu mechi ziendelee.
0 comments:
Post a Comment