
Mbanda anafanya kazi saa 13 kwa siku bure, Italia inaonekana kuwa na idadi kubwa zaidi ya waathirika wa virusi vya corona kiasi cha Cuba kuwapa madaktari zaidi ya 50 waongeze nguvu.
Maxime Mbanda ameelekeza nguvu zake katika kusaidia taifa lake wakati huu ambao Italia imesimamisha michezo yote ikiwemo Rugby kama njia ya kuondoa mikusanyiko inayoweza kusababisha maambukizi.
0 comments:
Post a Comment