- Details
- Created: Monday, 15 May 2017 05:39
REAL
MADRID Jana waliinyuka Sevilla 4-1 ndani ya Estadio Santiago Bernabeu
Jijini Madrid na sasa kuhitaji Pointi 4 tu katika Mechi 2 walizobakiza
ili kuwa Mabingwa wa LA LIGA huko Spain kwa mara ya kwanza tangu 2012.Jana, Mabingwa Watetezi Barcelona, wakicheza Ugenini, waliiwasha Las Palmas 4-1 kwa Bao 3 za Neymar na moja la Luis Suarez na kuendelea kuongoza La Liga wakiwa Pointi sawa na Real na wao wako juu kwa ubora wa Magoli lakini wamebakisha Mechi 1 tu wakati Real wana Mechi 2.
Bao kwenye Mechi ya real na Sevilla zilifungwa na Nacho, Cristiano Ronaldo, Bao 2, na Toni Kroos.
Jumatano, Real wako Ugenini huko Estadio Balaidos kucheza Mechi yao ya Kiporo na Celta Vigo na utashindi kwao utawaweka Pointi 3 mbele ya Barca
huku Mechi zikibaki 1 kwa kila Timu.
LA LIGA
Ratiba/Matokeo:
Raundi ya 37
**Saa za Bongo
Jumamosi Mei 13
Espanyol 0 Valencia 1
Osasuna 2 Granada 1
Jumapili Mei 14
Alaves 3 Celta Vigo 1
Athletic Club 1 Leganes 1
Real Betis 1 Atletico Madrid 1
Eibar 0 Sporting Gijon 1
Las Palmas 1 Barcelona 4
Real Madrid 4 Sevilla 1
Real Sociedad 2 Malaga 2
Villarreal 0 Deportivo 0
Alaves 3 Celta Vigo 1
Athletic Club 1 Leganes 1
Real Betis 1 Atletico Madrid 1
Eibar 0 Sporting Gijon 1
Las Palmas 1 Barcelona 4
Real Madrid 4 Sevilla 1
Real Sociedad 2 Malaga 2
Villarreal 0 Deportivo 0
Jumatano Mei 17
22:00 Celta Vigo v Real Madrid
Raundi ya 38 – Mechi za Mwisho
Ijumaa Mei 19
21:45 Granada v Espanyol
22:00 Celta Vigo v Real Madrid
Raundi ya 38 – Mechi za Mwisho
Ijumaa Mei 19
21:45 Granada v Espanyol
Jumamosi Mei 20
18:00 Deportivo v Las Palmas
18:00 Sporting Gijon v Real Betis
18:00 Leganes v Alaves
18:00 Deportivo v Las Palmas
18:00 Sporting Gijon v Real Betis
18:00 Leganes v Alaves
Jumapili Mei 21
17:45 Atletico Madrid v Athletic Club
17:45 Celta Vigo v Real Sociedad
17:45 Sevilla v Osasuna
17:45 Valencia v Villarreal
21:00 Barcelona v Eibar
21:00 Malaga v Real Madrid
17:45 Atletico Madrid v Athletic Club
17:45 Celta Vigo v Real Sociedad
17:45 Sevilla v Osasuna
17:45 Valencia v Villarreal
21:00 Barcelona v Eibar
21:00 Malaga v Real Madrid
0 comments:
Post a Comment