Monday, June 26, 2017

by alanus



Dereva Lewis Hamilton amesema kitendo cha dereva mwenzake Sebastian Vettel kumgonga wakati wa mbio za Azerbaijan Grand Prix ni cha aibu na hakipaswi kufanywa na dereva makini.
Madereva hao wawili waligongana wakati mbio hizo zikikaribia mwisho baada ya  Madereva hawa wawili wamekuwa na upinzani mkali kwa muda mrefu

.
Vetel anasema Hamilton alishika breki kwa maksudi ili kumjaribu.
Hamilton akapinga hilo na kusema kitendo hicho sio cha kimichezonamna magari hayo yalivyogongana

0 comments:

Post a Comment