Monday, June 12, 2017


























Bolt anashikilia rekodi ya mita 100 ya sekunde 9.58














































Usain Bolt ameaga mashindano ya riadha nchini Jamaica kwa kushinda mbio za mita 100 katika ardhi ya nyumbani Jamaica.
Mwanariadha huyo mweney umri wa miaka 30, ataaga riadha wakati anastaafu mwezi Agosti baada ya mashindano ya World Championships mjini London baada ya kuanza kuwaaga mashabiki wakae huko Kingston Jamaica.
Mshindi huyo mara nane ya medali ya dhahabu aliashinda kirahisi mbio za mita 100Usain BoltUsain Bolt

Waziri mkuu wa Jamaica Andrew Holness na rais wa chama cha kimataifa cha riadha Sebastian Coe pia walihudhuria.
"Ni vyema kuona kuwa kila mtu alikuja, hii inaonyesha kuwa nilichokifanya kwenye spoti ni kikubwa," alisema Bolt
 Usain Bolt is welcomed at the stadium in Kingston

0 comments:

Post a Comment