Arsenal wana nia ya kumsaini beki wa Chelsea David Luiz, lakini ikiwa Chelsea hawataki kuumuuza mchezaji huyo wa miaka 30 kwa mahasimu wao basi mbrazil huyo ataelekea Juventus. (Sunday Express)
West Ham, wana mpango wa kumsaini kiungo wa kati wa zamani wa Chelsea Andre Schurrle, 27, kutoka Borussia Dortmund. (Bild huko German)

Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger anasema hajui mipango ya mshambuliaji Alexis Sanchez kuhusu hatma yake katika klabu hiyo. (Sunday Times)
Ajenti wa Alexis Sanchez amezungumza na Manchester City kuwashawishi kumpa ofa ya mweze Januari mchezaji huyo ambaye anataka kuondoka Arsenal. (Metro)

Arsenal wabeibuka kuwa katika kumsaini Steven N'Zonzi, 29, kutoka Sevilla huku meneja wa Everton Sam Allardyce akikiri kuwa na mpango wa kuboresha safu yake ya mashambulizi na ulinzi. (Daily Star Sunday)
Everton, Southampton, Crystal Palace na West Ham wamehushwa na kumsaini mwezi Januari mshabuliaji wa Atletico Madrid Nicolas Gaitan 29. (AS)

0 comments:
Post a Comment