Asubuhi ya Jumanne nilionya mashabiki wote walioamini PSG wanaweza kupindua matokeo ya mchezo wa kwanza wasiwaze jambo hilo, na hilo ndilo limetokea baada ya PSG kupewa kili nilichotarajia.
Nani mwingine kama sio CR7? Mreno huyo amefunga bao lake la 12 la Champions League na sasa amesawazisha idadi ya mabao na yale ya msimh uliopita ya Champions League ambapo alifunga 12.
Hii ni mechi ya 9 mfululizo kwa CR7 kufunga katika mechi za Champions League, bao lingine la Real Madrid lilifungwa na Casemiro huku lile la kufutia machozi la PSG likifungwa na Edinson Cavanni.


0 comments:
Post a Comment