una aina ya watu washamba sana na hawa ndio aina ya watu
ambao tunapaswa tuwalaani..hv why baadhi ya wanayanga wanajiona wao ndio
wenye haki nchi hii peke yao?kutucharura wafanye wao ikifanya Simba ni
kosa au ushenzi wa kumpiga shabiki wetu..hv akifa huyo mtu?hili siwaachi
soon mtasikia..mapimbi kama hao mm ndio Mchungaji wao..ntawatia adabu!!
Mijitu imetoka kwenu Manyenza huko mnatuletea ujinga!! Mnavunja hadhi
ya klabu yenu na inaonekana ni klabu iliyofuga watu wahuni.
Hayo yamekuja baada ya shabiki huyo wa Simba aliyevalia jezi ya timu hiyo kupita kwenye jukwaa lililozoeleka kuwa la mtani wake Yanga wakati wa mchezo wa Wanajangwani hao.
0 comments:
Post a Comment