Ten
 amepewa majukumu hayo kwa muda ili kushikilia kiti alichokuwa 
amekikalia Nadir Haroub 'Cannavaro' ambaye aliondolewa ndani ya nafasi 
hiyo.
Nafasi hiyo atakaa nayo Ten kwa muda maalum mpaka pale atakapopatikana mtu mwingine ambaye atachukua nafasi hiyo.
Mbali
 na Ten, mchezaji wa zamani ndani ya Yanga, Said Maulid 'SMG' amechukua 
kiti cha Noel Mwandila kama msaidizi wa Boniface Mkwasa ambaye 
ametangazwa kuwa Kaimu Kocha Mkuu kufuatia klabu kvunja mkataba na 
Mwinyi Zahera.

0 comments:
Post a Comment