
Leo Yanga SC imemtangaza aliyewahi kuwa kocha wa viungo wa timu ya taifa ya Afrika Kusini ya wanawake Riedoh Berdien kuwa kocha wao wa viungo na kocha msaidizi namba 2.
Riedoh aliwahi kufanya kazi na Luc Eymael katika club ya Free State Stars ya Afrika Kusini, hivyo inatajwa kuwa kaajiliwa Yanga SC kwa mapendekezo ya kocha mkuu Eymael ambaye amewahi kufanya nae kazi.
0 comments:
Post a Comment