
Amokachi ,47, alikuwa sehemu ya kikosi cha timu ya taifa ya Nigeria cha 1994 ambacho kilishinda michuano ya mataifa ya Afrika nchini Tunisia (AFCON), pia alikuwa sehemu ya kikosi cha Olympic cha Nigeria 1996 na kushinda medali ya dhahabu.

Kabla ya kustaafu Soka Daniel Amokachi aliwahi kucheza vilabu mbalimbali Ulaya kama vile Everton ya England na Club Brugge ya nchini Ubelgiji.
0 comments:
Post a Comment