Son
Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la
ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga
Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini
London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga
dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton
yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72
Home
»
»Unlabelled
» TOTTENHAM HOTSPUR YAICHAPA SOUTHAMPTON 3-2 NA KUSONGA KOMBE LA FA ENGLAND
Thursday, February 6, 2020
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment