by alanus
Kiungo
chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa
akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika
ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja
Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe
la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti
dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA

0 comments:
Post a Comment