Details alanus
30 June 2017
TANZANIA Leo huko Afrika Kusini imetoka Sare 1-1 na
Mauritius katika Mechi yao ya mwisho ya Kundi A la COSAFA CUP na kutinga Robo
Fainali.
Matokeo hayo na yale ya Angola
kutoka 0-0 na Malawi ndiyo yamewabeba Tanzania kubakia uongozini na Washindi wa
Kundi A na hivyo kutinga Robo Fainali ambako watacheza na South Africa.
Mauritius ndio walitangulia kufunga
Bao Dakika ya 67 kwa Bao la Perticots na Dakika 1 baadae Simon Msuva
kusawazisha.
Kundi B, ambalo linaongozwa na
Zimbabwe, zitamaliza Mechi zake Ijumaa.
FAHAMU:
Hii ni mara ya 3 kwa Tanzania
kucheza Mashindano haya baada ya kushiriki yale ya 1997 na 2015.
Kundi B la Mashindano la 2017 COSAFA
Castle Cup lina Nchi za Zimbabwe, Madagascar, Mozambique na Seychelles.
Nchi Wanachama wa COSAFA, South
Africa, Swaziland, Botswana na Zambia wataanzia Hatua ya Robo Fainali ambapo
South Africa itacheza na Mshindi wa Kundi A na Swaziland kucheza na Mshindi wa
Kundi B wakati Botswana ikivaana na Zambia.
Mashindano ya COSAFA yalianzishwa
Mwaka 1997 na Nchi za South Africa, Zambia na Zimbabwe kubeba Kombe mara 4 kila
moja wakati Angola ikibeba mara 3 na Namibia mara 1.
COSAFA CUP
MSIMAMO:
Makundi
25/6
1 Tanzania 2-0
25/6
2 Mauritius 0-1
Angola
26/6
3 Mozambique 0-4
Zimbabwe
26/6
4 Madagascar 2-0
Seychelles
27/6
5 Malawi 0-0
Mauritius
27/6
6 Angola 0-0
Tanzania
28/6
7 Zimbabwe 0-0
Madagascar
28/6
8 Seychelles 1-2
Mozambique
29/6
9 Tanzania 1-1
Mauritius
29/6
10 Malawi 0-0
Angola
30/6
11 Mozambique vs
Madagascar
30/6
12 Zimbabwe vs Seychelles
Robo Fainali
01/7 13
Botswana vs
Zambia
01/7
14 Namibia vs
Lesotho
02/7
15 South Africa vs
Tanzania
02/7
16 Swaziland vs
Mshindi Kundi B
0 comments:
Post a Comment