Inaonekana wachezaji wa kibrazil wamekuwa wepesi kuzungumzia matamanio yao ya kujiunga na Manchester United hadharani katika siku za hivi karibuni.
Na jana ilikuwa zamu ya kiungo wa Monaco, Fabinho kumzungumzia Mourinho na Manchester United. Fabinho alikuwa akihojiwa na na Esporte Interativo, na alipoulizwa atasijikiaje kuhusu kuhamia Manchester United ikiwa wakileta ofa rasmi.
Jana Alhamisi gazeti kubwa la nchini Italia Corriero Dello Sport liripoti kwamba United imekubaliana na Monaco kulipa kiasi cha €35m + €5m za bonasi ili kumsaini kiungo huyo wa Monaco mwenye umri wa miaka 23.
.
0 comments:
Post a Comment