Tairone mwenye umri wa miaka 30 amemwaga wino Msimbazi kwa kandarasi ya miaka miwili mpaka 2021, Mchezaji huyo anayemudu kucheza nafasi ya Beki ameongeza idadi ya Wabrazil klabuni hapo kufikia 3 wakiwemo Vieira na Wilker Henrique.
Simba Sports Club yasajili Mbrazil mwingine leo
Tairone mwenye umri wa miaka 30 amemwaga wino Msimbazi kwa kandarasi ya miaka miwili mpaka 2021, Mchezaji huyo anayemudu kucheza nafasi ya Beki ameongeza idadi ya Wabrazil klabuni hapo kufikia 3 wakiwemo Vieira na Wilker Henrique.
0 comments:
Post a Comment