Monday, June 19, 2017

 saa4 zilizopita

 Barca

Matajiri wa jiji la Manchester klabu ya Man City huenda wakamgeukia beki wa Juventus Dani Alves kumsajili katika mkakati kuimarisha safu yao ya ulinzi
City hawana mlinzi wa kulia mwenye uzoefu baada ya kuwaacha Pablo Zabaleta na Bacary Sagna.
Kumekuwa na tetesi timu hiyo inamtaka beki wa kulia wa Tottenham, Kyle Walker lakini Habari za uhakika zinasema Pep Guardiola anataka kumsajili kitasa wa kibrazil aliyewahi kufanya ane kazi akiwa na Barcelona..
Guardiola ndie aliyemsajili Alves mwaka 2008 kwa dau la pauni milioni 23 kutoka Sevila kwenda Barcelona

0 comments:

Post a Comment