
Bondia Conor McGregor ameahidi
kumtangwa Floyd Mayweather ndani ya Round nne wawili hao walipokutana
katika kulizungumzia pambano lao la Agosti 26.
Wametokea mbele ya maelfu yamashabiki wao katika mkutano na waandishi wa habari mjini Los Angeles.

Mpambano huo unatajwa kuwa miongoni mwa itakayovutia zaidi duniani.
0 comments:
Post a Comment