By alanus

Querrey, 29, ameshinda kwa seti 3-6 6-4 6-7 (4-7) 6-1 6-1 na kuwa Mmarekani wa kwanza kufanya hivyo tokea Andy Roddick alipofika katika hatua hiyo mwaka 2009.

Murray, 30, aliongoza awali lakini maumivu ya goti yalimfanya ashindwe kuuhimili mchezo.
Majeraha aliyoyapata pia Novak Djokovic yanamfanya Murray aendelee kushikilia namba moja.
Djokovic namba mbili kwa ubora duniani, alipaswa kushinda mchezo dhidi ya Tomas Berdych lakini majeraha ya kiwiko yakakatisha matumaini hayo.
0 comments:
Post a Comment