Mario
Balotelli akikimbia na mpira baada ya kuifungia timu yake, Nice kwa
penalti dakika ya 39 katika sare ya 2-2 na Angers usiku wa jana Uwanja
wa Allianz Riviera mjini Nice katika mchezo wa Ligue 1 ya
Ufaransa. Bao lingine la Nice Ismael Traore alijifunga dakika ya 76,
wakati mabao ya Angers yamefungwa na Mateo Pavlovic dakika ya 12 na Karl Toko Ekambi dakika ya 34
Saturday, September 23, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment