Wednesday, January 3, 2018


1
Wachezaji  wa timu ya Polisi Tanzania wakishangilia  ushindi wa goli 2-1 dhidi ya timu ya Mbeya Kwanza katika mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa katika uwanja wa Sokoine Mbeya mwishoni mwa wiki.
2
Mshambualiaji wa timu ya Polisi Tanzania, Jackson Wawa  akionesha umahiri wake  katika kumiliki mpira  wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza ulichezwa uwanja wa Sokoine Mbeya ambapo timu ya Polisi Tanzania iliibuka na ushindi wa goli 2- 1 dhidi ya timu ya Mbeya Kwanza.
3
Mchezaji wa timu ya Polisi Tanzania Jeremiah Katula akiwatoka mabeki wa timu ya Mbeya kwanza wakati wa mchezo wa ligi daraja la kwanza uliochezwa katika uwanja wa Sokoine Mbeya mwishoni mwa wiki ambapo timu ya Polisi Tanzania iliibuka na ushindi wa goli 2- 1.

0 comments:

Post a Comment