Mwanasoka
Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao
matatu peke yake Real Madrid dakika za 27, 37 na 80 ikishinda 5-2 dhidi
ya Real Sociedad katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Uwanja
wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Mabao mengine ya Real yalifungwa
na Lucas Vazquez dakika ya kwanza na Toni Kroos dakika ya 34, wakati
ya Sociedad yalifungwa na Jon Bautista dakika ya 74 na Illarramendi dakika ya 83
Home
»
»Unlabelled
» RONALDO APIGA HAT TRICK REAL MADRID YASHINDA 5-2 LA LIGA
Sunday, February 11, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment