Mlinzi wa Tottenham Toby Alderweireld hawezi kusafiri kwenda Turin kwa mechi ya ligi ya mabingwa na Juventus halia ambayo inaweka hamtma yake katika klabu hiyo kuwa yenye utata.
Mshambuliaji wa Uhispania Fernando Llorente, 32, ametilia shaka hatma yake huko Tottenham akikiri kuwa ameokosa Juventus. (Mirror)
Kocha wa Chelsea Antonio Conte anasema wachezaji wake hawaathiriki kwa vyoyote na uvumi unazunguka hatma yake klabuni. (Sky Sports)

Meneja wa Manchester United Jose Mourinho anataka kuwashinda Manchester City katika kumsaini kiungo wa kati wa Real Madrid Isco. (Star)
Real Madird watamwendea kipa wa Chelsea Thibaut Courtois, 25, baada ya kuamua kuwa itakuwa rahisi kumsaini kuliko Mhispania mweye umri wa miaka 27 David de Gea kutoka Manchester United. (Talksport)

Lakini beki wa PSG Thiago Silva anaamini kuwa Neymar atasalia katika klabu hiyo. (Canal+ via Goal)
Meneja wa West Brom Alan Pardew anatepeleka kikosi chake nchini Uhispani kwenye joyo kwa mazoezi wakati wanajaribu kuzuiz kuondolewa kutoka kwa Ligi. (Telegraph)

0 comments:
Post a Comment