Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Shiza Kichuya ameposti picha akiwa gym anaonekana amechoka baada ya kufanya mazoezi ya kutosha. Kichuya ni miongoni mwa nyota wa Simba SC wanaotarajiwa kuondoka kesho Uturuki kwa kambi ya wiki mbili kujiandaa na msimu mpya
Kiungo
mshambuliaji wa Simba SC, Shiza Kichuya ameposti picha akiwa gym
anaonekana amechoka baada ya kufanya mazoezi ya kutosha. Kichuya ni
miongoni mwa nyota wa Simba SC wanaotarajiwa kuondoka kesho Uturuki kwa
kambi ya wiki mbili kujiandaa na msimu mpya
0 comments:
Post a Comment