Mashabiki wa Yanga wakitazama mchezo baina ya timu yao dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Hadi
mapumziko Yanga walikuwa nyuma kwa mabao 2-0, laini mwishowe wakafungwa
3-2 katika mchezo huo wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika
Hawa ni mashabiki wa mahasimu wao, Simba wakiwatabiria kufungwa 3-0 mapema tu kabla ya mchezo huo kuanza
Binti mdogo (kulia) anaonekana akimsemesha jamaa ambaye 'hayupo kabisa' eneo aliloketi
Mashabiki wa Yanga kila mmoja kwa fikra na hisia zake jana
Home
»
»Unlabelled
» MASHABIKI WA YANGA SC WANAVYOTESWA NA TIMU YAO
Tuesday, July 31, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment