Neymar alikuwa anadaiwa kuwa anajiangusha sana wakati wa game za michezo hiyo, leo amenukuliwa na baadhi ya mitandao kuwa alikuwa anadanganya wakati mwingine wakati wa fainali za michuano hiyo ili kuonekana kama ameumizwa sana.
“Unaweza ukafikiria nadanganya na kweli wakati mwingine nadanganya lakini ukweli ni kwamba wakati mwingine unaumia uwanjani, unaweza ukahisi najiangusha sana muda wote”>>>Neymar
0 comments:
Post a Comment