Jezi namba 10 ndani ya Liverpool imewahi kuvaliwa na wachezaji kama, John Barnes, Joe Cole, Luis Garcia, Michael Owen na Andriy Voronin.
Marko Grujic (left), Sadio Mane (centre) and Mohamed Salah (right) have returned to training
Mane na Salah walikuwa kwenye michuano ya kombe la dunia ambapo waliwakilisha mataifa yao.
Salah (left) enjoys being back in training with Mane (right), who will now wear the No 10 shirt