Gulspor imewauza jumla ya wachezaji 18 wa timu za vijana kwa lengo ya kiasi kilichopatikana, kuweza kununua mbuzi 10 kwa ajili ya kuanzisha biashara ya maziwa ya mbuzi ili kuiongezea club kipato.
Rais wa club Gulspor, Kenan Büyükleblebi inayoshiriki madaraja ya chini nchini Uturuki ameeleza kuwa mpango huo umekuja kutokana na club kushindwa kujimudu kiuchumi, hivyo biashara ya maziwa ya mbuzi itawasaidia kuongeza kipato cha gharama za uendeshaji wa timu.
0 comments:
Post a Comment