Bondia
Muingereza, Amir Khan (kushoto) akipambana na Samuel Vargas wa Colombia
anayeishi Canada usiku wa jana Uwanja wa Arena Birmingham kwenye
pambano lisilo la ubingwa. Khan aliyeshinda kwa pointi za majaji wote,
alimuangusha Vargas mwanzoni mwa raundi ya pili, naye akaangushwa
mwishoni mwa raundi hiyo wote waliinuka haraka kuendelea hadi kumaliza
raundi. Khan aliyemuangusha Vargas na raundi ya tatu pia pamoja na
kumjeruhi pua, kwa ushindi huo anaweza kupigana na Manny Pacquiao au
Kell Brook
Home
»
»Unlabelled
» KHAN AMCHAPA 'KISAWASAWA' VARGAS, SASA KUMVAA PACQUIAO
Sunday, September 9, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment