Eder
(katikati) akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya
74 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Scotland kwenye mchezo wa
kirafiki jana Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao
mengine ya Ureno iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo, yalifungwa
na Helder Costa dakika ya 43 na Bruma dakika ya 84 wakati la wenyeji
lilifungwa na Steven Naismith dakika ya 90 na ushei
Home
»
»Unlabelled
» BILA RONALDO URENO TISHIO TU, YAICHAPA SCOTLAND 3-1 GLASGOW
Monday, October 15, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment