Tuesday, February 18, 2020


Ole Gunnar Solskjaer ameshindwa kuvumilia vitimbi vya wakala wa Kiungo fundi wa United na timu ya taifa ya Ufaransa, Paul Pogba na kusema kuwa hatma ya nyota huyo ipo mikononi mwa Manchester na sio kwa Mino Raiola.
Image result for 'Paul Pogba is OUR player - NOT Mino Raiola's!': Ole Gunnar Solskjaer takes aim at super-agent after he yet-again fuelled talk of the Manchester United star's exit
Wakala wa Pogba, Mino Raiola mara kadhaa amekuwa akihusishwa na mipango ya kutaka kumtoa nyota huyo ndani ya Old Trafford, na kumpeleka katika klabu nyingine.
The agent (above) has hit out at United's struggles, hinting Pogba will be heading out the exit
Wakala wa Pogba, Mino Raiola
Mfaransa huyo amekuwa akisumbuliwa na majeraha mara kadhaa msimu huu, United na Raiola tayari wamegombana mwaka huu baada ya klabu hiyo ya Premier League kushindwa kumsajili Erling Haaland.
”Paul ni mchezaji wetu na sio wa Mino Raiola, sijakaa na Pogba kumuambia anachosema wakala wake,” amesema  Solskjaer katika mkutano na waandishi wa habari.
The World Cup-winning midfielder wants to stay at 'the highest level', according to Raiola
Paul Pogba mara ya mwisho kushuka dimbani ilikuwa siku ya ‘Boxing Day’ akitumia dakika 45 kwenye mchezo ambao walishinda jumla ya magoli 4-1 dhidi ya Newcastle

0 comments:

Post a Comment