Picha kubwa wachezaji wa Atletico Madrid wakifurahia na Kombe la Audi baada ya kuifunga Liverpool (picha ndogo juu kushoto) kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 90 usiku wa jana Uwanja wa Allianz
Arena mjini Munich, Ujerumani. Keidi Bare alianza kuwafungia wenyeji
dakika ya 33, kabla ya Roberto Firmino kuwasawazishia wageni dakika ya
83 na katika mikwaju ya penalti waliofunga na Atletico
ni Griezmann, Torres, Gabi, Gaitan na Luis wakati za Liverpool
zilifungwa na Firmino, Origi, Kent na Grujic huku Henderson akikosa
Home
»
»Unlabelled
» ATLETICO WAILIZA KWA MATUTA LIVERPOOL NA KUBEBA KOMBE LA AUDI
Thursday, August 3, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment