Kiungo
Juan Mata akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la
ushindi dakika ya 81 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya wenyeji, Sampdoria usiku wa jana Uwanja wa Aviva
mjini Dublin. Henrikh Mkhitaryan alianza kuifungia United dakika ya
tisa, kabla ya Dennis Praet kuisawazishia Sampdoria dakika ya 63 katika
mchezo huo ambao, kiungo mpya, Nemanja Matic aliyesajiliwa juzi kutoka
Chelsea kwa Pauni Milioni 40 alicheza kwa mara ya kwanza
Home
»
»Unlabelled
» MATA APIGA LA USHINDI MAN UNITED YAILAZA SAMPDORIA 2-1
Thursday, August 3, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment