Kipa wa zamani wa Yanga, Deogratius Munish ‘Dida’ amesajiliwa na klabu ya Chuo Kikuu cha Pretoria.
Timu hiyo maarufu kama Tuks FC inashiriki Ligi Daraja la Kwanza nchini Afrika Kusini.
Mara
ya mwisho iliteremka daraja kutoka Ligi Kuu Afrika Kusini maarufu kama
ABSA Premiership baada ya kushika nafasi ya 15 ilikuwa ni msimu wa
2015-16.
0 comments:
Post a Comment