Tiemoue Bakayoko akishangilia baada ya kuifungia bao la nne Chelsea dakika ya 71 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Qarabag usiku wa jana Uwanja
wa Stamford Bridge mjini London kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya
Mabingwa Ulaya. Mabao mengine yalifungwa na Pedro dakika ya tano, Davide
Zappacosta dakika ya 30, Cesar Azpilicueta dakika ya 55, Michy
Batshuayi dakika ya 76 na Maksim Medvedev aliyejifunga dakika ya 82
Wednesday, September 13, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment