Roberto Firmino
akiifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 52 katika ushindi wa 5-0
dhidi ya Swansea City usiku wa Jumanne Uwanja wa Anfield kwenye mchezo
wa Ligi Kuu ya England. Firmino alifunga pia dakika ya 66, wakati mabao
mengine ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya sita, Trent Alexander-Arnold dakika ya 65 na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 82
Home
»
»Unlabelled
» FIRMINO AFUNGA MAWILI LIVERPOOL YASHINDA 5-0 ENGLAND
Wednesday, December 27, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment