Canelo
Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika
pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas,
Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez
alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113
huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa
mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo
Home
»
»Unlabelled
» ALVARES AMSHINDA GOLOVKIV KWA UTATA TENA
Monday, September 17, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment