Cristiano
Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus mabao yote dakika za
50 na 65 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sassuolo kwenye mchezo wa Serie A
Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Sassuolo limefungwa na
Msenegal, Khouma El Hadji Babacar na Ronaldo amefunga kwa mara ya kwanza
leo baada ya kucheza mechi tatu awali bila kufunga kufuatia kujiunga na
timu hiyo kutoka Real Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 100
Home
»
»Unlabelled
» RONALDO AFUNGUA AKAUNTI YA MABAO JUVE KIBABE, APIGA ZOTE MBILI IKISHINDA 2-1 SERIE A
Monday, September 17, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment