Kinda huyo aliwasha moto kwenye mchezo wa Kombe la Carabao hatua ya 16 bora dhidi ya Liverpool.
Kinda huyo alitupia mabao mawili kwenye mchezo huo ambao Arsenal walifungwa kwa penalti 5-4 baada ya sare ya mabao 5-5.
"Martinell kwangu ndiye mchezaji bora kijana kwa sasa duniani, ana kiwango cha hali ya juu sana na anajua kufunga mabao," amesema.
0 comments:
Post a Comment