Miraj ametupia jumla ya mabao manne ndani ya Simba akiwa nyuma ya kinara wa utupiaji Meddie Kagere mwenye mabao saba.
Miraj
amesema: "Uwepo wa Kagere na Bocco ndani ya Simba unazidi kunijenga na
kunikomaza kwani hawa wote wawili wana ujuzi kuliko mimi najivunia uwepo
wao.
"Mara kwa mara wamekuwa wakiniambia maneno ambayo yananijenga na kunipa hasira ya kupambana kutafuta matokeo," amesema.
0 comments:
Post a Comment