Katika ibada maalum ambayo ilifanyika katika kanisa la St Joseph ilihudhuliwa na watu wengi waliovaa jezi zake huku rafiki yake kipenzi Jermain Defoe akionekana kutokwa na machozi.
Barabara za kuelekea kanisani zilipambwa na jezi zenye jina lake na maputo yaliyokuwa na rangi ya Everton huku mashabiki wa timu nyingi barani Ulaya walionekana.
0 comments:
Post a Comment