Mshambuliaji
wa Brazil, Neymar akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili
dakika ya 63 akimalizia pasi ya Willian katika mchezo wa kirafiki dhidi
ya wenyeji, Austria leo Uwanja wa Ernst-Happel mjini Viena hiyo mechi
yake ya kwanza kuanza kwenye kikosi cha timu hiyo tangu aumie mguu
Februari mwaka huu akiwa na klabu yake, Pars Saint-Germain nchini
Ufaransa. Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Gabriel Jesus dakika
ya 36 na Philippe Coutinho dakika ya 69 akimalizia kazi nzuri ya Roberto
Firmino
Home
»
»Unlabelled
» NEYMAR AFUNGA TENA BRAZIL YASHINDA 3-0 KIRAFIKI
Monday, June 11, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment