Mshambuliaji
Mbrazil, Gabriel Jesus akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea
kuichezea Manchester City hadi mwaka 2023 ambao unamfanya sasa mchezaji
huyo mwenye umri wa miaka 21 awe analipwa Pauni 100,000 kutoka 70,000
kwa wiki alizokuwa analipwa katika mkataba wake wa awali aliosaini
Januari 1, mwaka jana 2017. Jesus amefunga mabao 24 tangu ajiunge na Man
City akiiwezesha pia kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Home
»
»Unlabelled
» JESUS ASAINI MKATABA MPYA MAN CITY NA MSHAHARA WAPANDA
Friday, August 3, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment