Marco
Asensio (kushoto) akifurahia na beki Sergio Ramos baada ya wote kufunga
katia ushindi wa 6-0 dhidi ya Croatia iliyoongozwa na Mwanasoka Bora wa
Ulaya, Luca Modric kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa
Santiago Bernabeu mjini Madrid. Asensio alifunga dakika ya 33, Ramos
dakika ya 57 na mabao mengine yamefungwa na Kalinic aliyejifunga dakika ya 35, Rodrigo dakika ya 49 na Isco dakika ya 70
Home
»
»Unlabelled
» HISPANIA YAIVURUMUSHIA CROATIA 6-0 NA LUCA MODRIC WAO
Thursday, September 13, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment