Wachezaji
wa Hispania wakimpongeza mwenzao, Paco Alcacer baada ya kufunga mabao
mawili dakika za nane na 29 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji,
Wales kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Principality
mjini Cardiff. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Sergio Ramos
dakika ya 19 na Marc Bartra dakika ya 74, wakati la Wales lilifungwa
na Sam Vokes dakika ya 89
Home
»
»Unlabelled
» PALE PRINCIPALITY, ALCACER AFUNGA MAWILI
Friday, October 12, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.