Mshambuliaji
wa Argentina, Lautaro Martinez akishangilia na wachezaji wenzake baada
ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 4-0
dhidi ya wenyeji, Iraq usiku wa jana Uwanja wa Prince Faisal bin Fahd
mjini Riyadh. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Roberto Pereyra
dakika ya 53, German Pezzella dakika ya 82 na Franco Cervi dakika ya 90
na ushei
Home
»
»Unlabelled
» MARTINEZ, PEREYRA WAFUNGA ARGENTINA YAIFUMUA IRAQ 4-0
Friday, October 12, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment