TIMU
ya Ndanda FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la
timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi na kuliacha
gari tupu likipita katika mlango rasmi katika mchezo dhidi ya Mtibwa
Sugar Februari 29, 2020 uwanja wa CCM Gairo mkoani Morogoro.
Adhabu inatolewa kwa uzingativu wa kanuni ya 14(43) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
Adhabu inatolewa kwa uzingativu wa kanuni ya 14(43) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.

0 comments:
Post a Comment