Ni miongoni mwa nyota ambao wanatajwa kuwa bora kwa muda wote zama zake wakati akikipiga akiwa na uwezo mkubwa wa kumiliki mpira, spidi na kufunga mabao kwa nafasi yake ya ushambuliaji.
Alitikisa zaidi kwenye
Kombe la dunia mwaka 1998, 2000 kutokana na ubora wake kazi
yake ilitukuka zaidi akiwa na klabu za Inter, Ac Milan, Barca na Real Madrid.
Mwaka 1997 na 2002 alikuwa mchezaji
bora wa dunia alitwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa mwaka 1997/98
akiwa na Inter na makombe mengine kibao.
Alishastaafu kitambo kwenye ulimwengu wa soka na anamiliki klabu ya Real Valladolid. Kwenye maisha yake ya soka amecheza jumla ya mechi 343 na ametupia mabao 247.
Alishastaafu kitambo kwenye ulimwengu wa soka na anamiliki klabu ya Real Valladolid. Kwenye maisha yake ya soka amecheza jumla ya mechi 343 na ametupia mabao 247.
0 comments:
Post a Comment